Kimalay cha Kota Bangun Kutai

Kimalay ya Kota Bangun Kutai ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wamalay kwenye kisiwa cha Kalimantan. Mwaka wa 1981 idadi ya wasemaji wa Kimalay ya Kota Bangun Kutai imehesabiwa kuwa watu 80,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimalay ya Kota Bangun Kutai iko katika kundi la Kimalayiki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search